John 4:6-7

6Huko ndiko kulikokuwa na kile kisima cha Yakobo. Naye Isa alikuwa amechoka kwa kuwa alikuwa ametoka safarini. Akaketi karibu na hicho kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana.

7 aMwanamke mmoja Msamaria akaja kuteka maji, Isa akamwambia, “Naomba maji ninywe.”
Copyright information for SwhKC